Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimjulia hali jana, Jackson Kimambo ambaye amelazwa katika hospitali ya KCMC Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kupata ajali wakati akiendesha gari kutoka kwenye Maadhimisho ya miaka 40 ya CCM mkoani humo, Jumapili, Feb 5, 2017. Katika ajali hiyo watu sita walikufa wakiwemo viongozi wanne wa CCM ambapo Kinana yupo mkoani hapa, kuongoza mazishi ya vingozi hao. Wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Sid Mecky Sadick
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisaini kitabu ha wageni Ofisini kwa Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya KCMC ya Moshi, Kilimanjaro, Dk. Gileard Masenga (kulia), baada ya kumjulia hali dereva huyo
  Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya KCMC ya Moshi, Kilimanjaro, Dk. Gileard Masenga, akiwaaga Katibu Mkuu wa CCM Abdulraman Kinana na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Said Mecky Sadick
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiagana na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Mecky Sadick, baada ya zara hiyo ya kumjulia hali, dereva huo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...