Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wa sita kulia) akishiriki
kuswalia jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa NEC, Mwalimu Ali
Mbaga wakati wa mazishi yaliyofanyika leo Feb 8, 2017, katika kijiji cha
Kighare, Usangi wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, leo. Mbaga ni
miongoni mwa viongozi wanne wa CCM, waliofariki kwa ajali ya gari wakati
wakitoka kwenye maadhimisho ya miaka 40 ya CCM katika mkoa huo.(Picha
na Bashir Nkoromo).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...