MKOA wa Ruvuma umeanza mchakato wa uanzishwaji wa Benki ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.Uanzishwaji wa benki ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma ni utekelezaji wa maagizo ya Waziri Mkuu ambaye ameagiza kila mkoa hapa nchini uwe na Benki ya wananchi ili kusogeza huduma za kifedha kwa wananchi. Utafiti uliofanyika mwaka 2013 unaonesha kuwa ni asilimia 15 tu ya watanzania wanaotumia huduma za kibenki huku asilimia 85 wakikosa huduma hizo.Habari kamili tizama hii video
Home
Unlabelled
MKOA WA RUVUMA UMEANZA MCHAKATO WA UANZISHWAJI WA BENKI YA WANANCHI WA MKOA WA RUVUMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...