Mti kubwa wa kihistoria aina ya Mkuyu wenye kusadikiwa kuwa na umriwa miaka zaidi ya mia moja (100) uliopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam umekatika tawi lake kubwa na kuangukia sehemu ya jumba hilo na kuleta madhara kidogo kwenye Jengo hilo. 
Mashuhuda wa tukio hilo lililotokea leo mnamo saa saba mchana wamesema hakuna mtu yeyeto alieathirika  na mti huo kwani wakati ukianza kuanguka waliokuwepo karibu walisikia mvumo mkubwa kama wa mvua kubwa unavuma na kisha wakaona tawi linaelekea chini  nao walikimbia eneo hilo haraka.
 Tawi la mti wa kihistoria ujulikanao kama Mkuyu uliopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni likiwa limedondokea sehemu ya jengo la Makumbusho hiyo.
 Tawi la mti wa kihistoria ujulikanao kama Mkuyu uliopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni likiwa limedondokea sehemu ya jengo la Makumbusho hiyo.
 Tawi la mti wa kihistoria ujulikanao kama Mkuyu uliopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni likiwa limedondokea sehemu ya jengo la Makumbusho hiyo.
Sehemu ya paa lililoangukiwa na mti huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...