Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikala Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga akizungumza katika mkutano wa Mameneja wa NIC uliofanyika Morogoro jana.Kushoto ni Romanious Hokororo, Kaimu Mkurugenzi wa Bima za Ajali na Mali .
Baadhi ya Mameneja wa Shirika la Bima la Taifa NIC wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Sam Kamanga (hayupo Pichani) wakati wa mkutano wa Mameneja wa NIC uliofanyika Morogoro jana. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...