Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wameamua kutochukua posho zao za vikao viwili vya bajeti ambazo ni shilingi milioni 47, badala yake ziende zikatumike kumalizia miradi ya maendeleo ambayo imesimama katika halmashauri hiyo. Kwa undani wa habari hii hii hapa video yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...