Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wameamua kutochukua posho zao za vikao viwili vya bajeti ambazo ni shilingi milioni 47, badala yake ziende zikatumike kumalizia miradi ya maendeleo ambayo imesimama katika halmashauri hiyo. Kwa undani wa habari hii hii hapa video yake.
Home
Unlabelled
POSHO ZA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA WILAYA YA MBINGA MILIONI 47 KATIKA VIKAO VYA BAJETI, WAMEAMUA ZIENDE KUMALIZIA MILADI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...