Mwenyekiti  wa Programu ya  Urithi wa Ukombozi   wa  Bara la Afrika  Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akitoa maelezo kuhusu Programu hiyo kwa wajumbe katika kikao kilichofanyika jana Jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo  Prof.Elisante Ole Gabriel akiwasilisha mchango wake kwa wajumbe  wakati wa kikao cha Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kilichofanyika jana Jijini Dar es Salaam.
 Mtaalamu wa Programu  ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika Dkt Daniel Ngagala akiwasilisha mada wakati wa  kikao na wajumbe wa Programu hiyo kilichofanyika jana Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Dkt Hussein Mwinyi akichangia mjadala wakati wa kikao cha Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kilichofanyika jana Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.William Lukuvi akiwasilisha mchango wake katika kikao cha Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kilichofanyika jana Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Wataalamu wa Program ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika wakiwasilisha mawazo yao katika kikao cha Programu hiyo kilichofanyika jana Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...