Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Edisa Mathias(kulia)akimpatia maelekezo Mkazi wa Machava Kigamboni jijini Dar es Salaam,James John,Juu ya huduma bora zinazotolewa na mtandao huo Wakati wa promosheni ya simu mpya aina ya Smart Bomba yenye matumizi ya lugha ya Kiswahili inayopatikana kwa shilingi 99,000/-tu iliyoambatanishwa na kifurushi chenye intanenti ya GB 10 za bure kwa kipindi cha miezi 3.
Mkazi wa mji mwema kigamboni jijini Dar es Salaam,Shabani Hussein akisajiliwa namba ya simu yake jana na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, Armoury Shabani wakati wa promosheni ya simu mpya aina ya Smart Bomba yenye matumizi ya lugha ya Kiswahili inayopatikana kwa shilingi 99,000/-tu iliyoambatanishwa na kifurushi chenye intanenti ya GB 10 za bure kwa kipindi cha miezi 3.
Mkazi wa Vijibweni kigamboni jijini Dar es Salaam,Fred Anthony akifafanuliwa jambo jana na mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Edisa Mathias,Juu ya ubora wa simu mpya aina ya Smart Bomba ya kampuni hiyo yenye matumizi ya lugha ya Kiswahili inayopatikana kwa shilingi 99,000/-tu iliyoambatanishwa na kifurushi chenye intanenti ya GB 10 za bure kwa kipindi cha miezi 3.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...