Mkurugenzi kinga na elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla akizungumza na wandishi wa Habari kuhusu kampeni ya wiki moja ya kuhamasisha utumiaji wa huduma za uzazi wa mpango itakayoanza kesho tarehe 11 Kivunge Mkoa Kaskazini “A” Unguja, (kushoto) Afisa muhamasishaji kitengo shirikishi Afya ya Uzazi na Mtoto Wizara ya Afya Zanzibar Kasim Issa Kirobo.
Wandishi wa Habari kutoka vyombo tofauti wakisikiliza tarifa juu ya kampeni ya wiki moja ya kuhamasisha utumiaji wa huduma za uzazi wa mpango zitakayoanza kesho tarehe 11 Kivunge Mkoa Kaskazini “A” Unguja.
Mwandishi wa habari Mariyam Ame Chum kutoka ZBC TV akiuliza swali kwa Mkurugenzi kinga na elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil (hayupo pichani) kuhusu dawa za uzazi wa mpango na athari zake katika Mkutano uliofanyika Wizara ya Afya Zanzibar. Picha na Makame Mshenga.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...