Mkurugenzi wa hali ya hewa nchini amesema mabadiliko ya hali ya nchi yamesababisha kuongezeka kwa  hali ya joto hasa maeno ya Pwani: https://youtu.be/RtilCoojWUY

Baadhi ya wakazi mpakani  Mutukula mkoani kagera wametoa pongezi hatua zinazochukuliwa na serikali katika kudhibiti madawa ya kulevya: https://youtu.be/qy3DIx2M5mU

Wananchi wanaotumia barabara ya Mwanza wapo hatarini katika maisha yao iwapo madereva wanaotumia barabara hiyo watakiuka sheria za barabarani: https://youtu.be/pVIESU9nVZ0

Serikali mkoani Tanga imewaonya wahamiaji wasiokuwa na sifa kutojipenyeza katika zoezi la uhakiki wa wahamiaji walowezi: https://youtu.be/CriIX6GwiRs

Rais Magufuli ameagiza kuendelea na shughuli za ujenzi wa jengo jipya la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kambarage Nyerere jijini Dar Es Salaam: https://youtu.be/xpZ9UDtfJjo

Kamati za sherehe ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar imesema imekuwa na mafanikio makubwa na kufikia lengo lililokusudiwa: https://youtu.be/gANaFvpSeTs

Balozi wa Irani nchini ameandaa tamasha la utamaduni wa shirazi lilitakalofanyika katika ukimbi wa Jumba La taifa jijini Dar Es Salaam: https://youtu.be/nYeLpfeoV1A

Timu ya bayern Munich ya Ujerumani imesema imeshangazwa sana na kiendo cha Lahm  kutangaza kustaafu masuala ya soka; https://youtu.be/nYeLpfeoV1A

Mhe. Angela Kairuki atoa ufafanuzi dhidi matukio ya ufisadi katika vyama vya ushirika wilayani Siha; https://youtu.be/tpf-20-SaYQ

Mbunge wa Tanga ahoji mpango wa serikali wa kununua meli za kisasa ili kurahisisha usafiri wa uhakika kati ya Pemba na Tanga; https://youtu.be/KC_KfOXr23w

Je ni lini serikali italeta msajili wa hati za wiwanja mkoani Tabora? Mbunge wa Tabora kaskazini Mhe. Almas Maige ahoji; https://youtu.be/eO_ELD6qz1s

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...