Kikosi cha timu ya Yanga kilichocheza na Ng'aya Fc uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jioni ya leo na Mchezo huo kumalizika kwa droo ya kufungana bao 1-1.
Kikosi cha Timu ya Ng'aya Fc ya Comoro kikiwa katika picha ya pamoja katika mchezo wao dhidi ya Yanga, mchezo uliomalizika jioni hii katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Kipa wa Ng'aya Fc ya Comoro, Said Mmad akidaka mpira mbele ya mabeki wake na washambuliaji wa Yanga.
 Mshambuliaji wa Ng'aya Fc, Said Hachim akiwania mpira wa juu na beki wa Yanga, Kelvin Yondani katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika, uliochezwa jioni ya leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, mchezo huo umemalizika kwa sare ya bao 1-1.
 Beki wa Yanga, Vicent Bossou akiokoa mpira mbele ya washambuliaji wa timu ya Ng'aya katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika, uliochezwa jioni ya leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, mchezo huo umemalizika kwa sare ya bao 1-1.
 Beki wa Kulia wa Ng'aya Fc  akiokoa mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga , Deus Kaseke
 Beki wa kushoto wa timu ya Yanga , Mwinyi Haji akishangilia bao lake la kusawazisha dhidi ya Ng'aya Fc ya Comoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...