Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akishiriki kikao cha 38 Kamati Tendaji Kuhusu Shirikisho la Biashara Duniani. Kikao hicho kimefanyika Brussels - Ubeligiji kufanya tathimini ya mwenendo wa biashara na uwekezaji Duniani. Bunge la Tanzania limeteuliwa hivi majuzi kuungana na nchi 21 zinazounda Kamati Tendaji ya Kibunge Kuhusu Shirikisho la Biashara Duniani.
Home
HABARI
BALOZI KAMALA AHUDHURIA KAMATI TENDAJI YA KIBUNGE KUHUSU SHIRIKISHO LA BIASHARA DUNIANI (WTO)- BRUSSELS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...