Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Philip Marmo ameagwa
rasmi jana na viongozi wa Vatican, balozi huyo aliyekuwa na makazi
yake jijini Berlin, alikuwa anahudumu nchi 10 na nafasi yake hivi sasa
itashikiliwa na balozi Abdalah Possi ambaye aliapishwa jana na Rais Dk
John Magufuli.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani aliyemaliza muda wake, mheshimiwa
Philip Sanka Marmo ambaye alikuwa anahudumia nchi 10 ikiwemo Vatican,
akiagana na Baba Mtakatifu Papa Francis jana baada ya kustaafu
utumishi wake, (kulia) ni mke wake mama Nuruana Marmo.
Baba Mtakatifu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis akimpa zawadi
mama Nuruana Marmo, mke wa Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, balozi.Philip Marmo aliyemaliza muda wake ambaye alikuwa anahudumia nchi 10 ikiwemo Vatican, mama Nuruana Marmo, wakati walipofika jana kwa ajili ya kumuaga Papa.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani aliyemaliza muda wake Philip Marmo
akiagana jana na Mkuu wa Utawala, Vatican (Secretary of State),
Mhadhama Kardinali Pietro Parolin, balozi Marmo alikuwa anatumikia
nchi 10 ikiwemo Vatican.
Balozi Philip Marmo akiagana na Mkuu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano na
Mataifa (Secretary for Foreign Relations with States), Askofu Mkuu
Paul Callagher, alipofika jana kuagana na viongozi wa Vatican, balozi
Marmo ambaye alikuwa na makazi yake jijini Berlin nchini Ujerumani
alikuwa anahudumia nchi 10 ikiwemo Vatican.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani aliyemaliza muda wake, mheshimiwa
Philip Sanka Marmo ambaye alikuwa anahudumia nchi 10 ikiwemo Vatican,
akiagana na Baba Mtakatifu Papa Francis jana baada ya kustaafu
utumishi wake, (kulia) ni mke wake mama Nuruana Marmo.
Baba Mtakatifu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis akimpa zawadi mama Nuruana Marmo, mke wa Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, balozi Philip Marmo aliyemaliza muda wake ambaye alikuwa anahudumia nchi 10 ikiwemo Vatican, mama Nuruana Marmo, wakati walipofika jana kwa ajili ya kumuaga Papa.
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani aliyemaliza muda wake Philip Marmo
akiagana jana na Mkuu wa Utawala, Vatican (Secretary of State),
Mhadhama Kardinali Pietro Parolin, balozi Marmo alikuwa anatumikia
nchi 10 ikiwemo Vatican.
Balozi Philip Marmo akiagana na Mkuu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano na Mataifa (Secretary for Foreign Relations with States), Askofu Mkuu Paul Callagher, alipofika jana kuagana na viongozi wa Vatican, balozi Marmo ambaye alikuwa na makazi yake jijini Berlin nchini Ujerumani alikuwa anahudumia nchi 10 ikiwemo Vatican.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...