Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti , Omary Kumbilamoto akishiriki kusambaza kifusi katika barabara ya Mtakuja mara baada ya eneo hilo kuwa korofi kutokana na kuwepo kwa mashimo mengi ambayo yamekuama yakituama maji muda wote pindi mvua zinaponyesha
Baadhi ya Vijana na Wakazi wa Vingunguti wa mtaa wa mtakuja wakijitolea kuchimba mitaro na kusambaza kifusi katika barabara ya mtaa wa Mtakuja
Omary Kumbilamoto akisambaza kifusi katika mtaa wa mtakuja Vingunguti kuziba mashimo akiwa na watoto wadogo kwa lengo la kuwafundisha umuhimu wa kuwa wazalendo kujitolea katika shughuri za wananchi pindi watakapokuwa wakubwa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...