Wizara ya Nishati na Madini kupitia Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) imeendesha mafunzo kuhusu mfumo mpya wa uhifadhi data na utoaji taarifa kwa ajili ya nishati jadidifu ujulikanao kama Tanzania Renewable Energy Information Management System (TREIMS) kwa wadau wa nishati jadidifu wenye lengo la kutangaza fursa za uwekezaji katika nishati jadidifu nchini, mjini Njombe
Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele akisoma hotuba ya ufunguzi kwa ajili ya mafunzo kuhusu TREIMS kwa wadau wa nishati jadidifu kwa niaba ya Kamishna Msaidizi- Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi, Styden Rwebangila
Sehemu ya wadau wa nishati jadidifu wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika mafunzo hayo.
Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji (CADESE), Paul Kiwele (kushoto) akielimisha moja ya wadau katika mafunzo hayo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...