Waziri wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba,
akitoa ufafanuzi kuhusu
utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Bajeti ya mwaka wa fedha wa uliopita katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Kudumu
ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakati wa Mapitio ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha kwa Taasisi ziliko
katika Wizara hiyo, ikiwa ni hatua
muhimu kabla ya kuanza kwa Vikao vya Bunge
la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linalotarajiwa kuanza mapema
tarehe nne mwezi Aprili mwaka huu, Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa
Mikutano wa Chuo Kikuu Dodoma [UDOM]
mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara Mambo
ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira wa kwanza kulia na Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Hassan Simba Yahaya anayemfuatia wakifuatilia
ufafanuzi uliokuwa ukitolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini [IGP] Ernest Mangu aliyesimama kuhusu Oparesheni mbalimbali za kuzuia
uhalifu hapa nchini, wakati wa Kikao cha Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya
Nje, Ulinzi na Usalama wakati wa Mapitio ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha kwa Taasisi ziliko
katika Wizara hiyo, ikiwa ni hatua
muhimu kabla ya kuanza kwa Vikao vya Bunge
la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linalotarajiwa kuanza mapema
tarehe nne mwezi Aprili mwaka huu, Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa
Mikutano wa Chuo Kikuu Dodoma [UDOM]
mkoani Dodoma.
Kamishna Jenerali wa
Uhamiaji Dr. Anna Peter Makakala, akiwa
pamoja na watendaji wengine wa Wizara Mambo ya Ndani ya Nchi, akimfuatilia kwa
makini Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na
Usalama, Mhe. Balozi Adad Rajab wakati Mwenyekiti
huyo hayupo pichani, akiwaongoza Wajumbe wa Kamati hiyo kuipitia Bajeti ya mwaka ujao wa fedha kwa Taasisi ziliko
katika Wizara hiyo, ikiwa ni hatua
muhimu kabla ya kuanza kwa Vikao vya Bunge
la Bjeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linalotarajiwa kuanza mapema
tarehe nne mwezi Aprili mwaka huu, Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa
Mikutano wa Chuo Kikuu Dodoma [UDOM]
mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira wa kwanza kulia na
Naibu Katibu Mkuu wake, Balozi Hassan Simba
Yahaya wakifuatilia kwa makini Bajeti ya Jeshi la Polisi ya mwaka ujao wa
fedha, katika Kikao cha Kamati ya Bunge
ya Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakati wa Mapitio ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha kwa Taasisi ziliko
katika Wizara hiyo, ambapo kwa siku ya leo Kamati hiyo imepitisha Bajeti za
Jeshi la Polisi na Fungu Hamsini na Moja inayobeba Idara Saidizi ndani ya
wizara, hatua ambayo ni muhimu kufikiwa kabla ya kuanza kwa Vikao vya Bunge la Bajeti la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, linalotarajiwa kuanza mapema tarehe nne mwezi Aprili
mwaka huu, Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu Dodoma [UDOM] mkoani Dodoma.
Waziri wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba,
akisoma taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya mwaka wa fedha wa uliopita katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya
Kudumu ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kabla ya Mapitio ya Bajeti ya mwaka ujao wa fedha kwa Taasisi ziliko
katika Wizara hiyo, ikiwa ni hatua
muhimu kabla ya kuanza kwa Vikao vya Bunge
la Bajeti la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linalotarajiwa kuanza mapema
tarehe nne mwezi Aprili mwaka huu, Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa
Mikutano wa Chuo Kikuu Dodoma mkoani Dodoma.
PICHA ZOTE NA WIZARA YA
MAMBO YA NDANI YANCHI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...