Balozi wa Kuwait nchini Mhe.  Jasem Al Najem (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Africa Relief Organisation Bw. Sami Al  Azib wakiwa na hati ya mkataba uliowekwa kati ya Kuwait  Red Crescent Society  na Africa Relief Organisation wa kuchimba visima 16 katika shule tofauti jijini Dar es salaam katika hafla ndogo iliyofanyika katika Ubalozi wa Kuwait hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...