Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof.Jumanne Maghembe akiweka silaha ya jadi (rungu) kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa waliouawa kwa kunyongwa na wakoloni kwenye siku ya kilele cha Maadhimisho ya miaka 110 ya vita vya Maji Majiyaliyofanyika mkoani Ruvuma katika wilaya ya SongeaBalozi wa Ujerumani nchini Tanzania.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof.Jumanne Maghembe (katikati) akizungumza na wananchi kwenye siku ya kilele cha Maadhimisho ya miaka 110 ya vita vya Maji Maji na uzinduzi wa Makumbusho ya Hayati Rashidi Kawawa yaliyofanyika mkoani Ruvuma katika wilaya ya Songea. Wengine ni Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilis Mahenge ( wa pili kulia) Mbunge wa viti maalum wa Ruvuma, Jacquiline ngonyani ( wa kwanza kulia) Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Egon Kochanke ( wa kwanza kushoto) pamoja na Chifu wa wangoni, Emanuel Zulu (wa pili kushoto) . Picha na Lusungu Helela- WMU)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof.Jumanne Maghembe akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilis Mahenge wakiangalia baadhi ya Nishani alizokuwa akitunukiwa Dkt. Rashid Mfaume Kawawa katika kulitumikia taifa kwa uzalendo mara baada ya kuzinduzia jana Makumbusho ya Hayati Rashidi Kawawa yaliyofanyika mkoani Ruvuma katika wilaya ya Songea. Picha na Lusungu Helela- WMU).





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...