Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January
Makamba hii leo amekutana na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird.
Katika mazungumzo yao Mwakilishi huyo wa Benki ya Dunia ameahidi kuisaidia
Tanzania katika Sekta ya Mazingira ikiwa ni pamoja na uhifadhi wa mifumo ya
ikolojia na bioanuai, pamoja na kulijengea uwezo Baraza laTaifa la Hifadhi na
Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January
Makamba (Kushoto) akiongea na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird.
Mazungumzo hayo yamefanyika hii leo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January
Makamba (Kushoto) akiongea na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird.
Mazungumzo hayo yamefanyika hii leo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...