Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba hii leo amekutana na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird. 

 Katika mazungumzo yao Mwakilishi huyo wa Benki ya Dunia ameahidi kuisaidia Tanzania katika Sekta ya Mazingira ikiwa ni pamoja na uhifadhi wa mifumo ya ikolojia na bioanuai, pamoja na kulijengea uwezo Baraza laTaifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (Kushoto) akiongea na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird. Mazungumzo hayo yamefanyika hii leo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (Kushoto) akiongea na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird. Mazungumzo hayo yamefanyika hii leo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...