Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama
akizukumza na Makatibu Wakuu wa Ofisi yake nje ya Ukumbi wa Bunge mara
baada ya kuhairishwa kwa mkutano wa 11 Aprili 6, 2017 wa kwanza kushoto
ni Katibu Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bw.
Erick Shitindi, katikati Dkt.Hamisi Mwinyimvua (Sera na Uratibu) na
Bi.Maimuna Tarishi (Bunge na Waziri Mkuu).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama
akipitia taarifa ya Kambi ya Upinzani Bungeni wakati wa Uwasilishwaji
wake katika mkutano wa 11 wa Bunge la Bajeti kulia ni Naibu wake (Kazi,
Ajira na Vijana), Mhe. Antony Mavunde.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama
(katikati) akipongezana na baadhi ya wabunge nje ya Ukumbi wa Bunge
wakati wa Bunge la Bajeti kushoto kwake ni Naibu wake Mhe. Antony
Mavunde (Kazi, Ajira na Vijana) na wa kwanza kulia ni Mhe. John Heche
(Tarime).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama
(katikati) akiwa na baadhi ya wabunge nje ya Viwanja vya Bunge Dodoma
Aprili 6, 2017.
(PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...