SIMU.TV: Waziri wa Nishati na Madini Prof Muhongo amesema kukosekana kwa uaminifu kwa baadhi ya wanasheria wa wizara hiyo kumepelekea mikataba mibovu kwa Taifa; https://youtu.be/QyUuuGhgY5s

SIMU.TV: Fuatilia mahojiano maalumu baina ya TBC na Dr Hellen Ottaru kuhusu ujenzi wa Reli ya Kisasa na manufaa yake kwenye uchumi wa Tanzania; https://youtu.be/5he3ovQaAz4

SIMU.TV: Baadhi ya wakazi mkoani Kigoma wameonesha hofu ya kujiunga kwenye vikundi vya Ushirika ili waweze kukopeshwa fedha kwa ajili ya maendeleo; https://youtu.be/U4A_gGZvKPM

SIMU.TV: Sekta ya Utalii visiwani Zanzibar inasemekana kuwa chachu ya vijana wengi visiwani humo kufahamu Lugha zaidi moja; https://youtu.be/fQ8rFRJ4P_I    

SIMU.TV: Kampuni binafsi zinazofanya biashara katika maeneo hatarishi kwa uharibifu wa mazingira yametakiwa kuhakikisha wanalinda mazingira; https://youtu.be/C52_tvXJbug

SIMU.TV: Taasisi inayohusika na utoaji Barcode imetiliana saini na halmashauri za mkoa wa Kigoma kuanza kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wadogo mkoani humo; https://youtu.be/qaJJ2QEA1I0

SIMU.TV: Afisa mtendaji mkuu wa benki ya Afrika hapa nchini amesema wametenga zaidi ya shilingi bilioni 500 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyabiashara; https://youtu.be/qTCLH_zy2yM  

SIMU.TV: Klabu ya soka ya Yanga inatarajia kuondoka hapo kesho kuelekea nchini Algeria kurudiana na wapinzani wao katika kombe la shirikisho klabu ya MC Alger; https://youtu.be/UZwv8YZcDYQ

SIMU.TV: Fahamu hapa baadhi ya mapambano ya Masumbwi yatakayopigwa katika sikukuu ya Pasaka nchini Tanzania ; https://youtu.be/RYbgFhOHNFs

SIMU.TV: Fahamu hapa jinsi mchezo wa kubashiri matokeo mbalimbali ya soka barani Ulaya unavyowanufaisha mashabiki wa soko nchini Tanzania; https://youtu.be/H4q-3AoQXkw

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...