Wakulima wa mahindi katika kijiji cha Ihemi mkoani Iringa pamoja na Bwana Shamba wa Yara Tanzania Ltd, Andrew Ndundulu (kati-chini) katika picha ya pamoja baada ya mafunzo ya matumizi bora ya mbolea za mahindi kutoka kampuni hiyo. Mafunzo hayo yalifanyika katika shamba darasa la Yara Tanzania kama njia ya kuelimisha waondokane na fanya kilimo cha mazoea na kuelekeza fikra zao kwenye kilimo cha kisasa.
Moja ya picha iliyopigwa kwenye shamba darasa la Yara katika kijiji cha Ihemi mkoani Iringa




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...