SIMU.TV: Wachimbaji wadogo 4 wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kwenye machimbo moja huko mkoani Geita; https://youtu.be/Et61swLXm6U

SIMU.TV: Wananchi wamekumbushwa kuwa wazalendo katika shughuli zao ili kuhakikisha mali na rasilimali za nchi yao hazipotei; https://youtu.be/pbYmzm7Ot4E

SIMU.TV: Askari mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kutokea kwa tetemeko dogo la ardhi mkoani Mwanza; https://youtu.be/8PLnuUdNXjQ

SIMU.TV: Waziri wa ardhi William Lukuvi amesema serikali itaendelea kuongeza hazina ya ardhi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo uwekezaji; https://youtu.be/s3i-Bj3HaYc

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amemuagiza mkuu wa shule ya sekondari Mpitimbi kuwarudisha bwenini wanafunzi wake; https://youtu.be/IRXyNI0o6r0

SIMU.TV: Kampuni ya kutengeneza mkaa kwa kutumia Pumba ya RT imeendesha mafunzo kwa wanawake wajasiriamali ili watumie mkaa huo; https://youtu.be/sh42dZyQSXw

SIMU.TV: Wanawake wajasiriamali wa kata ya Mabwepande jijini Dar Es salaam wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo kuboresha maisha yao; https://youtu.be/xmMC3c9vQrY

SIMU.TV: Waziri wa fedha na mipango Dkt Philip Mpango amevitaka vikundi vya ujasiriamali vinavyopata mikopo kuhakikisha wanarudisha ili waweze kukopeshwa tena; https://youtu.be/xhz7ctaX7Pk  

SIMU.TV: Shirikisho la mpira wa miguu TFF limetoa pongezi kwa watanzania wote kwa namna walivyoiunga mkono timu ya taifa ya vijana Serengeti Boys; https://youtu.be/kQoOQqxLxiQ

SIMU.TV: Timu ya Mbao FC ya mkoani Mwanza imesema kuwa inataka kuandika historia mpya kwenye soka kwa kuifunga Simba kwenye Fainali ya kombe la shirikisho; https://youtu.be/SJS1nNB9mLE

SIMU.TV: Klabu ya Manchester United imekata tiketi ya kucheza klabu bingwa barani Ulaya baada ya kuitandika Ajax kwa mabao mawili kwa bila; https://youtu.be/_df1s20Hxw8

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...