Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Graceana Shirima, akimkabidhi baadhi ya nyalaka
Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki Shirika la Nyumba la Taifa,
Hassan Mohamed, katika hafla ya makabidhiano ya Mradi wa Ukarabati wa
Shule ya Sekondari Pugu, iliyopo wilaya ya Ilala Dar es Salaam.
Meneja
Habari, Elimu na Mawasiliano wa TEA, Sylvia Lupembe akijadiliana jambo
na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Pugu wakati wa hafla hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...