Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu walipokuwa katika Sherehe za Mei Mosi zilizofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro leo 01/5/ 2017 Katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP. Dr Reginali Mengi walipokuwa katika Sherehe za Mei Mosi zilizofanyika Kitaifa Mkoani Kilimanjaro leo 01/5/ 2017 katika viwanja vya Chuo cha Ushirika mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya Wabunge wakiwa pamoja na watumishi wa Serikali katika Sherehe za Mei Mosi zilizofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro leo katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro
Wafanyakazi wa Kiwanda Chakutengenza Sukari (TPC) Wakipita Kwa maandamo mbele ya mgeni Rasimi Rais Dr John Magufuli ikiwa ni ishara ya kusheherekea Maadhimisho ya Sikukuu ya wafanyakazi Duniani ambapo Tanzania Kitaifa yamefanyika mkoani Kilimanjaro
PICHA NA PMO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...