Airtel yafuturisha wafanyakazi wake siku ya ijumaa kabla ya sikukuu ya Eid
Wafanyakazi katika kitengo cha mawasilino cha Airtel wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kufuturu . kushoto ni mkurugenzi wa mawasiliano Beatrice Singano, akifatiwa na Afisa uhusiano Jane Matinde, Meneja huduma kwa jamii, Hawa Bayumi pamoja na Afisa uhusiano na matukio, Dangio Kaniki
Sheikh Hilal Kipoozeo akiongoza wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari
Wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari
Wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari
Wafanyakazi wa Airtel pamoja na baadhi ya wageni kwenye futari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...