Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (kulia), akimkaribisha
Rais Mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, katika futari waliyowaandalia
wateja wao jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Katikati ni Meneja
Mahusiano wa benki hiyo, William Kallaghe.
Rais Mstaafu, Alhaji Ali Hasaan Mwinyi (wa pili
kushoto), akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na benki ya NBC kwa wateja wake jijini Dar es Salaami. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi
Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Filbert Mponzi na
Waziri Mkuu wa zamani, Salim Ahmed Salim .
Rais Mstaafu, Alhaji
Ali Hasaan Mwinyi (katikati), akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NBC,
Theobald Sabi (kushoto), katika hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa
wateja wake jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Filbert
Mponzi.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi
(kushoto), akimpa zawadi Waziri Mkuu wa zamani, Salim Ahmed Salim katika hafla
ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu, Alhaji
Ali Hasaan Mwinyi (kushoto), akizungumza na Meneja wa Tawi la Corporate,
Mariam Kombo (kulia), baada ya kuhudhuria hafla ya futari
iliyoandaliwa na NBC jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi na Meneja Mahusiano wa benki
hiyo, William Kallaghe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...