Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema akimkabidhi kombe Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Osterbay Zefrin Lubuva kuwa mshindi wa Mazingira.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani,yaliyofanyika viwanja vya Mnazi mmoja,jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema akikabidhi cheti kwa Mwandishi wa ITV , Benjamini Mzinga kuwa mmoja wa wadau makini katika utunzaji wa Mazingira
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akizungumza katika mkutano wa kuadhimisha siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja wa Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...