Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo Thecla Makundi ameeleza kuwa semina hiyo itamuwezesha mdau kujiamini, kujitambua, kujiandaa na kuwa na uwezo mkubwa wa kuthubutu.

Huduma ya Semina hiyo itakayofanyika Juni 30, mwaka huu katika ukumbi wa Msasani Tower mkabala na Hospitali ya CCBRT Kuanzia Saa 8 mchana hadi 12 Jioni
Mkurungenzi wa Melva International Ltd, ,Amedeus Deogratius akifafanua jambo katika mkutano huo.picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni Melva International Ltd,Thecla Makundi (kulia) akizungumza na waandishi wa habari juu ya semina maalumu ya huduma ya kazi kwa wadau wa kazi ili kuwajengea Uwezo leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni,Amedeus Deogratius

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...