Akiwa njiani kwenda Toronto, Canada kuhudhuria Mkutano wa 31 wa Shirikisho la Kimataifa la Wakunga Duniani, Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtembelea na kumjulia hali Mwadhama Policarp Kadinali Pengo akiwa hotelini Dubai njiani kurejea Dar es Salaam akitokea matibabuni. Rais Mstaafu amefurahishwa na kumuona Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo katika siha njema na amemtakia safari njema na maisha marefu.
Home
Unlabelled
JK akutana na Mwadhama Policarp Kadinali Pengo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...