Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Andrew Lyimo (katikati), akikabidhi kadi ya gari kwa Rose Richard Getenyi kwa niaba ya mumewe, Lawrence Njozi aliyeshinda zawadi ya gari mpya aina ya Toyota Double Cabin Pick Up baada ya kushiriki katika kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Anayeangalia ni Meneja Kitengo cha Bidhaa za Kuwekeza, Dorothea Mabonye. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Andrew Lyimo (katikati), akikabidhi ufunguo wa gari mpya kwa Rose Getenyi kwa niaba ya mumewe, Lawrence Njozi aliyeshinda zawadi ya gari mpya aina ya Toyota Double Cabin Pick Up baada ya kushiriki katika kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Anayeangalia ni Meneja Kitengo cha Bidhaa za Kuwekeza, Dorothea Mabonye. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Rose Gitenyi akifurahia kuwasha gari lao Toyota Double Cabin Pick Up jipya ambalo mumewe alijishindia katika kampeni ya akaunti ya Malengo iliyoendeshwa na NBC. Familia ya mteja wa Benki ya NBC Lawrence Njozi aliyeibuka mmoja wa washindi wawili wa kampeni ya Malengo ya benki hiyo na kujishindia gari jipya aina ya Toyota Double Cabin Pick Up wakipozi kwa picha mbele ya gari hilo mara baada ya Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi wa NBC, Andrew Lyimo (kulia) kumkabidhi mke wa mshindi huyo, Rose Getenyi (wa tano kushoto), jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.     

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...