Katibu Tawala mkoa wa Morogoro, Clifford Tandari aliyesimama, akizungumza na wahariri na waandishi wa Habari katika warsha ya siku moja iliyoandaliwa na mfuko wa Bima ya Afya nchini, NHIF. Katika warsha hiyo, NHIF imepokea taarifa ya utafiti uliofanywa kwa ushirikiano na wanahabari kuangalia ubora/changamoto za utoaji wa bima ya afya nchini.
Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Bernard Konga, Agnes Chaki, wa kwanza kushoto, na kulia kwake ni Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri Theophil Makunga na karibu wake, Nevil Meena. Picha na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii.
⁠⁠⁠Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini, NHIF, Bernard Konga akiongea na wahariri na waandishi wa Habari wakati wa warsha ya siku moja ya kupokea taarifa ya utafiti juu ya kuangalia ubora/ changamoto za utoaji wa bima ya afya nchini
Mkurugenzi msaidizi Habari maelezo, (Habari) Rodney Thadeus akiongea kwa niaba ya Serikali juu ya huduma zinazofanywa na NHIF nchini wakati ya warsha hiyo.
Baadhi ya wahariri wa nyombo mbalimbali vya habari nchini wakifuatilia warsha ya siku moja ya wanahabari iliyofanyikoa mkoani Morogoro, wakati NHIF ikipokea taarifa ya utafiti uliofanywa na baadhi ya waandishi wa Habari kuangalia ubora/ changamoto za utoaji wa bima ya afya nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia warsha hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...