--
 Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud'Akipokewa na Rais wa Shirikisho la Filamu nchini ,Simon Mwakifamba, akitokea nchini Swedeni ambako anaishi kwa sasa.  Cloud amekuja nchini kwa ajili ya uzinduzi wa filamu yake ambayo ameifanya huko huko Sweden na kampuni moja inayokwenda kwa jina la Fila(4)
 Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akisalimina na mmjoa wa viongozi wa timu ya Bongo Muvi Chick Mchoma mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Swedeni
 Sehemu ya Mashabiki wa  Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' wakiwa na mabango katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
  Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akizungumza na Waandishi wa Habari  mara baada ya kuwasili nchini akitokea Sweden
  Mke wa Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akizungumza na Vyombo vya habari.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...