--
Msanii
wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud'Akipokewa na Rais wa Shirikisho la
Filamu nchini ,Simon Mwakifamba, akitokea nchini Swedeni ambako anaishi
kwa sasa. Cloud amekuja nchini kwa ajili ya uzinduzi wa filamu yake
ambayo ameifanya huko huko Sweden na kampuni moja inayokwenda kwa jina
la Fila(4)
Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akisalimina na mmjoa wa viongozi wa timu ya Bongo Muvi Chick Mchoma mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Swedeni
Sehemu ya Mashabiki wa Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' wakiwa na mabango katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuwasili nchini akitokea Sweden
Mke wa Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akizungumza na Vyombo vya habari.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akisalimina na mmjoa wa viongozi wa timu ya Bongo Muvi Chick Mchoma mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Swedeni
Sehemu ya Mashabiki wa Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' wakiwa na mabango katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuwasili nchini akitokea Sweden
Mke wa Msanii wa Filamu Nchini Issa Mussa 'Cloud' akizungumza na Vyombo vya habari.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...