Kamishna Jenerali wa Magereza,
Dkt. Juma Malewa akikagua Gadi ya wahitimu wa mafunzo ya muziki wa Brass
Band ya Jeshi la Magereza kwenye Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya
Urekebishaji Tanzania, Ukonga jijini Dar es salaam Julai 11, 2017.
Wahitimu wa mafunzo ya muziki wa
Brass Band ya Jeshi la Magereza wakipita mbele ya jukwaa kwa heshima
katika hafla ya kufunga rasmi mafunzo hayo kwenye Viwanja vya Chuo cha
Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Ukonga jijini Dar es salaam Julai 11,
2017.
Maafisa Waandamizi wa Jeshi la
Magereza wakiwa wamesimama kwa heshima kabla ya Wahitimu wa mafunzo ya
muziki wa Brass Band ya Jeshi la Magereza kupita mbele ya jukwaa kwa
heshima katika hafla ya kufunga rasmi mafunzo hayo.
Kamishna Jenerali wa Magereza,
Dkt. Juma Malewa(wa tatu toka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na
Wahitimu wanawake wa mafunzo ya muziki wa Brass Band ya Jeshi la
Magereza. Walioketi wa pili toka kushoto ni Kamishna wa Fedha na
Utawala, Gaston Sanga, (wa kwanza kushoto) ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa
Dar es Salaa, Naibu Kamishna wa Magereza Augustine Mboje, (wa tatu toka
kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Naibu Kamishna wa
Magereza, Gideon Nkana, (wa pili toka kulia) ni Boharia Mkuu wa
Magereza, Naibu Kamishna wa Magereza Uwesu Ngarama na wa kwanza kulia ni
Mkuu wa Mafunzo Jeshini, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Charles
Novart(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...