MAL4
Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akikagua Gadi ya wahitimu wa mafunzo ya muziki wa Brass Band ya Jeshi la Magereza kwenye Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Ukonga jijini Dar es salaam Julai 11, 2017.
MAL5
Wahitimu wa mafunzo ya muziki wa Brass Band ya Jeshi la Magereza wakipita mbele ya jukwaa kwa heshima katika hafla ya kufunga rasmi mafunzo hayo kwenye Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Ukonga jijini Dar es salaam Julai 11, 2017.
MAL6
Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakiwa wamesimama kwa heshima kabla ya Wahitimu wa mafunzo ya muziki wa Brass Band ya Jeshi la Magereza kupita mbele ya jukwaa kwa heshima katika hafla ya kufunga rasmi mafunzo hayo.
MAL10
Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(wa tatu toka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wanawake wa  mafunzo ya muziki wa Brass Band ya Jeshi la Magereza. Walioketi wa pili toka kushoto ni Kamishna wa Fedha na Utawala, Gaston Sanga, (wa kwanza kushoto) ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es Salaa, Naibu Kamishna wa Magereza Augustine Mboje, (wa tatu toka kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Naibu Kamishna wa Magereza, Gideon Nkana, (wa pili toka kulia) ni Boharia Mkuu wa Magereza, Naibu Kamishna wa Magereza Uwesu Ngarama na wa kwanza kulia ni Mkuu wa Mafunzo Jeshini, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Charles Novart(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...