Mkuu wa mkoa wa Ruvuma dkt.Bilinith Mahenge atoa agizo kwa wiazara ya maliasili mkoa wa Ruvuma kuwachukilia hatua mara moja wale wote wanaohusika na ukataji miti ovyo na uchomaji mkaa ,rai hiyo ameitoa baada ya kukamata gari lilo beba mbao 400 zilizokuwa zinasafirishwa kunyume na sheria .HABARI KAMILI HII HAPA.
Home
MICHUZI TV
RC RUVUMA AMEAGIZA KUTAIFISHWA KWA MAGARI YOTE YALIYOHUSIKA NA UBEBAJI WA MBAO NA MKAA KINYUME NA SHERIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...