Wakazi wa Tabata Segerea Wilaya ya Ilala wakiwa wanashangaa gari aina ya Land Cluser Prado ambayo imecha barabara na kuvamia Vigingi Vilivyopo kwenye barabara ya kukatisha kwenda Kimara Bonyokwa
Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama
Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya
kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda
Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu
aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo
Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama
Gari aina ya toyota Land Cluser Ikiwa ipo juu ya mawe mara baada ya
kuruka na kuacha njia katika eneo la tabata Segerea njia panda ya kwenda
Bonyokwa, gari hiyo imepanda mawe hayo katika harakati za kumkwepa mtu
aliyekuwa anakuja mbele yake kwa speed kali hata hivyo katika ajali hiyo
Hakuna majeruhi wala mtu aliyefariki wote walitoka Salama
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...