Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki ya CRDB ,mara baada ya kuzindua Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kulia) akiwa pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki ya CRDB ,akizindua mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani) kwenye hafla fupi ya kuzindua Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei akizungumza na kumshukuru Mgeni rasmi ,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa serikali na wageni waalikwa kwa ujumla,katika suala zima la kufanikisha uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi uliokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar es salaam. Habari zaidi BOFYA HAPA
Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani) kwenye hafla fupi ya kuzindua Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei akizungumza na kumshukuru Mgeni rasmi ,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa serikali na wageni waalikwa kwa ujumla,katika suala zima la kufanikisha uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi uliokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar es salaam. Habari zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...