Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki ya CRDB ,mara baada ya kuzindua  Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan ( wa pili kulia) akiwa pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na Viongozi waandamizi wa benki ya CRDB ,akizindua mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam.
  Mgeni rasmi  Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan  akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani) kwenye hafla fupi ya kuzindua  Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi lililokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,uliofanyika katika viwanja vya Posta-Kijitonyama mapema leo jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB,Dkt Charles kimei akizungumza na kumshukuru Mgeni rasmi ,Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa serikali na wageni waalikwa kwa ujumla,katika suala zima la kufanikisha uzinduzi wa Jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi uliokwendaa sambamba na uzinduzi wa mfumo mpya wa huduma za kibenki kwa njia ya simu wa SimAccount,katika viwanja vya Posta-Kijitonyama jijini Dar es salaam. Habari zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...