OLD SCHOOL REUNION USIPIME WIKI 3 TU ZIMEBAKI COLUMBUS OHIO KIMATAIFA ZAIDI

kwa maombi ya wachezaji wa soka wanaokuja kutoka ulaya kucheza Simba na Yanga wameomba mechi ipigwe siku ya Jumamosi kwa hiyo mtanange wa Simba na Yanga utachezwa baada ya mpira wa kikapu siku hiyo ya Jumamosi Sept 2, 2017


HOTELS IN COLUMBUS


Hampton Inn Columbus I-70 E/Hamilton Road
2093 S Hamilton Rd, Columbus, OH 43232


Holiday Inn Express & Suites Columbus Southeast
4041 Hamilton Square, Groveport, OH 43125


Hawthorn Suites by Wyndham Airport Columbus East
2084 S Hamilton Rd, Columbus, OH 43232


La Quinta Inn Columbus Airport Area
2447 Brice Rd, Reynoldsburg, OH 43068


Comfort Suites Columbus
5944 Scarborough Blvd, Columbus, OH 43232


Days Inn & Suites Columbus East Airport
2100 Brice Rd, Reynoldsburg, OH 43068


Courtyard by Marriott Columbus Airport
2901 Airport Dr, Columbus, OH 43219






RATIBA KAMILI NI KAMA IFUATAVYO


Ijumaa Sept 1, 2017




Kuanzia saa 3 usiku ni Africa Night chini ya DJ Burundi na kutakua na onyesho la mavazi kutoka kwa Missy T na Asya Idarous Khamsin anuani ni






4257 Eastland Square Dr,
Columbus, OH 43243




Jumamosi Sept 2, 2017
Kuanzia saa 8 mchana ni BONANZA la mpira wa kikapu kutoka kwa vijana wa Pazi, Vijana, Don Bosco na kwengineko anuani ni
6615 Dublin center Dr,
Dublin, OH 43017




Jumamosi Sept 2, 2017
kuanzia saa 12 jioni ni mechi ya Simba na Yanga itakayokua na wachezaji waliocheza ligi kuu Tanzania anuani ni
Avery Park,
7501 Avery Rd,
Dublin, OH
43017




Na baadae kuanzia saa 3 usiku ni Old School Reunion chini na Ma DJ bora North America DJ Dennis (Funky House) na The Mix Master DJ Luke Joe anuani ni 4257 Eastland Square Dr
Columbus, OH 43243




Jumapili Sept 3, 2017 
kuanzia saa 12 jioni
NYAMA CHOMA anuani


Avery Park,
7501 Avery Rd,
Dublin, OH
43017




Na baadae kuanzia saa 3 usiku ni usiku wa Reggae anuani ni 
4257 Eastland Square Dr,
Columbus, OH 43243




MISOSI NA VINYWAJI VYAKUMWAGA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...