Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akiongea jambo na Rais wa shirika la Kimataifa la Maendeleo la
Japan (JICA) Bw. Shinichi Kitaoka aliyekutana na kufanya mazungumzo naye leo
agosti 21, 2017 Ikulu jijini Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais
wa shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) Bw. Shinichi Kitaoka (kushoto)
na Balozi wa Japan nchini Mhe. Masaharu Yoshida leo agosti 21, 2017 Ikulu
jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akimtambulisha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Mhandisi Joseph Nyamhanga na Mtendaji Mkuu wa Tanroads Mhandisi Patrick Mfugale
kwa Rais wa shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) Bw. Shinichi
Kitaoka aliyekutana naye leo agosti 21, 2017 Ikulu jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...