Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi kwa Wateja wake waliounganishwa katika Gridi ya Taifa kwa katizo la umeme lililotokea majira ya Saa 7:32 Mchana.
Jitihada za kutatua tatizo hili zinaendelea, hadi kufikia saa 8:00 mchana baadi ya Mikoa imeanza kupata umeme.
Taarifa rasmi kuhusu tatizo hilo itatoloewa pale uchunguzi wa tatizo utakapo kamilika.
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu
IMETOLEWA NA:- OFISI UA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...