Baadhi ya Viongozi kutoka Asasi za Vijana wakiwapungia mkiono baadhi ya vijana wenzao walioshiriki maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia ambayo ilifanyika katika Shule ya Sekondari Kibasila Jijini Dar es Salaam jana. Asasi hizo ni TYVA, UNA na East Africa Youth Club. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika kudumisha amani” ambayo imetokana na lengo namba 16 la maendeleo endelevu ya millennia.
Baadhi ya vijana wa mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia ambayo ilifanyika katika Shule ya Sekondari Kibasila Jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na viongozi a kutoka Asasi za Vijana. Asasi hizo ni TYVA, UNA na East Africa Youth Club. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika kudumisha amani” ambayo imetokana na lengo namba 16 la maendeleo endelevu ya millennia.
Baadhi ya vijana wa mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia ambayo ilifanyika katika Shule ya Sekondari Kibasila Jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na viongozi a kutoka Asasi za Vijana. Asasi hizo ni TYVA, UNA na East Africa Youth Club. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika kudumisha amani” ambayo imetokana na lengo namba 16 la maendeleo endelevu ya millennia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...