Mkuu wa wilaya ya namtumbo luckiness amlima amekagua ujenzi wa mabweni, vyumba vya madarsa na vyoo katika shule ya sekondari NASULI na NANUNGU iliyopo wilayani hapo na kuridhishwa na ujenzi wake ambao hadi kukamilika kwake itagaharimu kiasi cha shilingi milioni mia tano na kumi na nane.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...