Baadhi ya wanafamilia wa Africans Rising wakizungumza na wanahabari baada ya kukamilisha mafunzo na kubadilishana uwezo ya mwezi mmoja yaliyofanyika mkoani Arusha -MS TCDC. Toka kushoto ni M'bongo Ali toka Burundi, Amina Teraz toka Morocco, katikati ni kiongozi wa harakati Mr Muhammed Lamin Saidykhan toka Ghambia ambaye kwa sasa anaishi Senegal, Julie  toka Liberia, Mr Omboki Otieno toka Kenya..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...