Baadhi ya wanafamilia wa Africans Rising wakizungumza na wanahabari baada ya kukamilisha mafunzo na kubadilishana uwezo ya mwezi mmoja yaliyofanyika mkoani Arusha -MS TCDC. Toka kushoto ni M'bongo Ali toka Burundi, Amina Teraz toka Morocco, katikati ni kiongozi wa harakati Mr Muhammed Lamin Saidykhan toka Ghambia ambaye kwa sasa anaishi Senegal, Julie toka Liberia, Mr Omboki Otieno toka Kenya..
Home
Unlabelled
Africans Rising wakamilisha mafunzo na kubadilishana uwezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...