Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akizungumza katika hafla fupi iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake wakubwa, yenye lengo la kuwafahamisha fursa mpya na kukusanya maoni yao juu ya njia za kuwapa huduma bora, iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena, jijini Dar es salaam Septemba 29, 2017. Hafla hiyo pia iliambatana na uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akizungumza kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dkt. Charles Kimei, kuzungumza katika hafla fupi iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake wakubwa, yenye lengo la kuwafahamisha fursa mpya na kukusanya maoni yao juu ya njia za kuwapa huduma bora, iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena, jijini Dar es salaam Septemba 29, 2017.
Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu wa Benki ya CRDB, Goodluck Nkini akizungumzia mikakati mbalimbali ya Benki hiyo kwa wateja wake, wakati hafla fupi iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake wakubwa, yenye lengo la kuwafahamisha fursa mpya na kukusanya maoni yao juu ya njia za kuwapa huduma bora, iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena, jijini Dar es salaam Septemba 29, 2017.
Mkurugenzi wa Hazina wa Benki ya CRDB, Alex Ngusaru akisisitiza jambo katika hafla fupi iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake wakubwa, yenye lengo la kuwafahamisha fursa mpya na kukusanya maoni yao juu ya njia za kuwapa huduma bora, iliyofanyika kwenye hoteli ya Serena, jijini Dar es salaam Septemba 29, 2017. 
Sehemu ya wateja wakubwa wa Benki ya CRDB waliohudhuria hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...