Naibu Kamishna wa utawala polisi makao makuu DCP Leonard .l. Paulo alie katikati akiongozana na wenyeji wake mkuu wa chuo cha polisi kidatu baada ya kuwasili chuoni hapo ACP, Zarau .H Mpangule alie mkono wa wa kushoto na alieko kulia ni Kamanda wa polisi Msitafu DCP  Venance Tossi.  Picha na Jeremia.
 Kamanda wa polisi Msitafu DCP Venance Tossi  wakijadili jambo na Naibu Kamishna wa utawala polisi makao makuu DCP Leonard .l. Paul.
Naibu Kamishna wa utawala polisi makao makuu DCP Leonard .l. Paul akilakiwa au kupokelewa kwa shangwe na  wakanguzi waliokuwa wanaitimu mafunzo yao katika chuo cha polisi Kidatu. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...