Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisisitiza jambo wakati akiwasilisha muswada wa sheria ya madaktari, madaktari wa meno na wataalamu wa Afya shirikikishi (The medical, Dental and Allied Heath Professional) leo Bungeni mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba akiwasilisha maoni ya Kamati hiyo kuhusu muswada wa sheria ya madaktari, madaktari wa meno na wataalamu wa Afya shirikikishi (The medical, Dental and Allied Heath Professional) leo Bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akisisitiza kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuimarisha zao la tangawizi pamoja na Kiwanda cha kuchakata Tangawizi ili iweze kuuzwa katika soko la Kimataifa.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Genista Mhagama akizungumzia hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kutatua changamoto zilizobainishwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria ndogo kuhusu uchambuzi wa Sheria ndogo zilizowasilishwa katika mkutano wa sita na wa saba wa Bunge.
Baadhi ya Wabunge wakiwasili katika viwanja vya Bunge leo Asubuhi kushiriki kikao cha bunge.Picha zote na Frank Mvungi- Maelezo Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...