Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la UN Alvaro Rogriquez jana akipanda mti wa matumaini ya programu ya pamoja ya kigoma katika kambi ya Nyarugusu juu ya mradi mtambukwa endelevu kwa wakimbizi na wakazi wa wilaya hasa vijiji jirani zinazoishi na wakimbizi Picha na( Magreth Magosso Kigoma).
Pichani wa tatu kutoka mkono wa kushoto ni Kaimu mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Marco Gaguti akikata utepe wa kuzindua jengo la dawati la jinsia la polisi wilayani kasulu akishuhudiwa na wafadhili wa umoja wa mataifa akiwemo mkurugenzi mkazi wa UN Alvaro Rodriquez .
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Charles Palanjo aliyevaa koti ambaye pia ni Mgeni rasmi akihitimisha kwa kuzindua jiwe la msingi wa mradi wa pamoja kigoma katika Kambi ya wakimbiz na waomba hifadhi ya Nyarugusu wilaya ya kasulu .(Picha na Magreth Magosso )Kigoma.
Mwakilishi kutoka ubalozi wa watu wa Norway Trygre Bendksby jana katika kambi ya nyarugusu akiumwagilia maji mti alioupanda kama sehemu ya matumaini ya mradi wa programu ya pamoja kigoma yenye vipaumbele sita ikiwemo nishati endelevu na mazingira .Picha na Magreth Magosso kigoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...