Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk. Laurent Shirima(kulia)pamoja na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’i Issa wakisaini mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano, wanaoshuhudia (kulia )ni Mwanasheria Mwandamizi wa PPRA, Agnes Sayi na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Ushiriki wa Watanzania katika Uwekezaji, Esther Mmbaga.
Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk. Laurent Shirima, pamoja na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’i Issa wakibadilisha hati za mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano mapema jana  jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Dk. Laurent Shirima,akizugumza wakati wa hafla ya utiliaji saini mkataba wa miaka mitano wa ushirikiano na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) mapema jana jijini Dar es Salaam.(kushoto)ni Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng’I Issa. 
.Sehemu ya watendaji na waandishi wa habari wakiwa katika hafla hiyo.(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...