Mandhari ya ukumbi wa Hekima Garden ulioko Mikocheni Industrial area jijini Dar es salaam wakati wa Send Off ya Dkt. Chrida Duncan Ndanshau Jumamosi usiku
  Bibi wa Bi Harusi Mtarajiwa akitoa wasia kwa mjukuu wake katika ukumbi wa Hekima Garden ulioko Mikocheni Industrial area jijini Dar es salaam wakati wa Send Off ya Dkt. Chrida Duncan Ndanshau Jumamosi usiku. Wazazi wa Dkt. Chrida wakisikiliza kwa makini.

 Bibi wa Bi Harusi Mtarajiwa akitoa wasia kwa mjukuu wake katika ukumbi wa Hekima Garden ulioko Mikocheni Industrial area jijini Dar es salaam wakati wa Send Off ya Dkt. Chrida Duncan Ndanshau Jumamosi usiku.

  Familia ya Bi. Harusi Mtarajiwa wakipata picha  katika ukumbi wa Hekima Garden ulioko Mikocheni Industrial area jijini Dar es salaam wakati wa Send Off ya Dkt. Chrida Duncan Ndanshau Jumamosi usiku.
 Wadau wa Familia ya Bi. Harusi Mtarajiwa wakipata picha  katika ukumbi wa Hekima Garden ulioko Mikocheni Industrial area jijini Dar es salaam wakati wa Send Off ya Dkt. Chrida Duncan Ndanshau Jumamosi usiku.

 Madada wa Bi. Harusi Mtarajiwa wakipata picha  katika ukumbi wa Hekima Garden ulioko Mikocheni Industrial area jijini Dar es salaam wakati wa Send Off ya Dkt. Chrida Duncan Ndanshau Jumamosi usiku.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...