THE WORSHIPPERS TANZANIA ni umoja wa makanisa yote wanaopenda kumwabudu Mungu wameandaa mkesha mkubwa kwa ajili ya kumwabudu Mungu katika jiji la Dar es salaam kwa Wana Dar es Salaam wote wapendao kuabudu utakaofanyika 1.12.2017 siku ya Ijumaa kuanzia saa 3 usiku Upanga CCC. 

Je wewe ni muimbaji ama una kipaji cha kuimba ama wapiga vyombo kanisani? 
Uko tayari kumwabudu Mungu? 

Ikiwa umejibu ndiyo basi wewe ni kati ya wale 200 tunaowahitaji kujisajili kushiriki mkesha huu. Jisajili kwa kupiga simu ziziopo hapa chini, Usaili utafanyika tarehe 16.9.2017 Jumamosi saa 2 hadi saa 8 mchana. JISAJILI SASA +255657266777 au +255768570703

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...